Wednesday 16 September 2009

Trafic lightlong time not working.


Hizi ni taa za bara barani katika eneo la mkunazini, taa hizi zina karibu mwezi mmoja hivi sasa haziwaki hivyo kuwa kero kwa watumiaji wa sehemu hii.
Na sio sehemu hii tu, hata eneo la Malindi chini ya kituo kikuu cha polisi wa bara barani pia taa zake zina karinu miezi minne haziwaki.
Nadhani hatua za dharura zinahitajika kuchukuliwa ili kuepusha maafa kufuatia kukosekana kwa taa hizi.

No comments:

Post a Comment