Tuesday 10 November 2009

Ni Zebra Cross ama michoro tu.


Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikishughulishwa na mfumo wa udereva wa Hapa kwetu Zanzibar juu ya kuthamini alama za bara barani.

Kwa mfano hapa nimeandaa picha hii inayowaonyesha watu wanaotembea kwa miguu wakiwa wanavuka kwenye Zebra Cross lakini wakati huo huo madereva nao wanapitisha gari zao bila hata ya kujali ni alama gani iliyopo eneo hilo.

Sunday 27 September 2009

My Radio Logo.


This is my Radio Logo. Ni kama ujuavyo kila Radio ni vizuri ikwa na alama yake na sisi tumeitengeneza hii tangu kuanza kwa Radio yetu na ndio inayotumika kututambilisha katika sehemu kadhaa.

Wednesday 16 September 2009

Trafic lightlong time not working.


Hizi ni taa za bara barani katika eneo la mkunazini, taa hizi zina karibu mwezi mmoja hivi sasa haziwaki hivyo kuwa kero kwa watumiaji wa sehemu hii.
Na sio sehemu hii tu, hata eneo la Malindi chini ya kituo kikuu cha polisi wa bara barani pia taa zake zina karinu miezi minne haziwaki.
Nadhani hatua za dharura zinahitajika kuchukuliwa ili kuepusha maafa kufuatia kukosekana kwa taa hizi.

in the Meeting at Zenji Fm.

Andrea Schmidt she seems to be very happy because of good agreements, while Sevan seems to be very intrest with the topic in the meeting with Zenji Fm leaders.

Here was in the office at Mombasa in Zanzibar where Zenji Fm is located now days..

I hope what we achive together in the meeting will work and we will all keep our realation.

Deutsche Welle and Zenji Fm.


From the left is Sevan Ibrahim a Deutsche Welle, Project Manager Distribution Africa/middle East , Centre is Issa Msabah Zenji Fm Radio Assistance Enginier and the right Side is Andrea Schmidt, when they are at Masingini Area where Zenji Fm radio has its Transmiter.
These two leaders was in Zanzibar for talking with our Radio leaders and to review some agreaments.

Friday 4 September 2009

Ni picha za Forodhani.




Kwa kuwa ni muhimu kuziona hizi picha na ptazamo wake wa hivi sasa. Nimeona ni vyema nikaazituma na picha nyingine zaidi ambazo nilibahatika kuzichukua katika eneo hili la Forodhani.




Kwa kuwa nnamjali sana Hariet Jasson aliyetaka niziweke picha hizi nimeamua kufanya hii kazi kwa niaba yake na hivi sasa nnaziweka ili kila ambae anahitaji kuiona mandhari hii mpya aweze kufanya hivyo.




Na ikiwa mtu yoyote ana maoni juu ya mandhari hii anaweza akanitumia maoni hayo kupitia katika Blog yangu hii.


Kwa kuwa mazingira ni yetu sote naomba tulitunze eneo hili na ikiwa serikali ina uwezo mwengine basi hata Jamhuri Garden itengenezwe ifanane na hii ya Forodhani.

New forodhani Garden View.




Kumbe watanzania tunapokusudia kufanya kitu huwa tunaweza lakini ni watu wachache mno ndio wanaotukwaza katika kuyimiza lile tunalolitaka.




Katika eneo la forodhani kulikuwa na eneo ambalo lilikuwa ni maarufa kwa wananchi kufika nyakati za usiku na kufurahika kwa kununua chakula na kupumzika.




Vyakula vya ainda nyingi sana vilikuwa vikipatikana lakini baada ya kuonekana umuhimu wa eneo hilo Serikali imeamua kuifanyia matengenezo eneo hilo na kujenga bustani ambayo kwa hivi sasa imekuwa ni kivutio kikubwa sana kwa wageni na wananchi wenyewe.




Hizi ni baadhi ya picha zinazoonyesha eneo labustani ya Forodhani.

Wednesday 2 September 2009

Zanzibar State University.


Licha ya kuwa elimu bora sio majengo bora na wala sio uzuri wa majengo lakini ni vyema hasa ikiwa mnaishi katika ulimwengu wa wastaarabu mkajitahidi angalau kuwa na majengo yaliyomauri na yaliyopo katika maeneo muwafaka.

Sijui wenzangu mnalitazamaje suala la chuo kikuu cha taifa SUZA kuwepo katika eneo hili la mjini lisilo hata na nafasi nzuri ya kieneo.

Nnavyofahamu mimi ni vyema tukapata sehemu nzuri ambayo itasaidia wasomi wetu kupata sehemu ya mapumziko na kujadili masomo yao. Katika nchi za wenzetu ni kweli kuwa wana vyuo vikuu mijini lakini wanazingatia pia suala la utulivu na eneo kubwa kwa wanachuo ili wapate wapumzike na kutafakari.

Kwa hapa kwetu chuo hiki kilichopo hapa sioni kama ni busara na ikiwezekana ni vyema basi serikali ikakitafutia sehemu nyingine ya kukijenga kuliko hapa kilipo hivi sasa.

Baada ya Muda wa ukimya.



Nimejaribu kwa kiasi kikubwa kufikiria ni jinso gani nnaweza nikayatekeleza maoni ya wadau wangu wa Blogu hii, kwa kunitaka nitumie zaidi lugha ya kiswahili, Na hatimae hivi leo nimeona nianze kwa kukidhi haja ya wadau hao.

leo hii hebu tuone vitu viwili ambavyo ni muhimu sana kwa wadau kujua. idara ya Mazingira imekuwa ikipiga kelele kwa siku nyingi sana suala la kuweka mazingira yetu safi yanayotuzunguuka lakini cha kushangaza si wao idara hiyo, wala Baraza la Manispaa vilivyodiriki kuliona ama hata kama wameliona lakini hatua zinazofaa haziwahi hata siku moja kuchukuliwa ili kulipiga marufuku tendo hili lakuchukua boti kutoka baharini na kuja kuziweka katika makaazi ya watu.

Boti hii ipo maeneo ya Bweni nje kidogo ya mji wa Zanzibar, lakini eneo hili pia ndilo eneo linalotarajiwa kuwepo baraza la Wawakilishi kwa siku zijazo. Si hayo tu lakini hata chuo cha Afya cha Zanzibar kipo katika maeneo haya.

hizi picha tofauti zinaonyesha jinso mmiliki ambae tumeshindwa kumjua alivyoiweka boti hii inayokadiriwa kutumia zaidi ya miaka mitatu eneo hili.

Chini ya boti hii kuna wadudu hatari wameshaweka maskani wakiwemo nyoka na pia eneo hili sasa limekuwa hatari kwa watoto wa eneo hili la Mbweni kucheza katika eneo hili.

Lakini ni kitu gani na hatua zipi zitachukuliwa na Idara zinazohusika, hebu tuangalie kama hilo litawezekana.

Friday 12 June 2009

The final day in DFC Class



This was the memorial day for all participate in the four week course here in Copenhagen, Denmark. It was the day to complete this course of Role of Media in Democratic Process.

Mr. Per was the one who gave me the Cirtificate, Cd and Flag of his country. Well it was the hard job to finish the course but we did.

Look at the picture, when I was taking my Cirtificate. 

Saturday 6 June 2009

Photo Shop.


Most of the time the traing is very intrested as that day I went to the Photo Shop near DFc to learn a little bit of how to edit photos.

we were five of us ithe class and actualy we had a good time on learning and our expert was Jens Hemmel. I knew many thing since I came out of his Photo shop including How to set the camera, Pixel use, image size etc.

Here is a picture me and Jens.

Friday 5 June 2009

Group shot with Mr. jan kjaer.


This man here Centre of the Picture is a Journalist and consultant specializing in Development, also he is a Chirman of Nairobi Club, the Denish network of media professionals intrested in developing countries.

The picture was been taken after he finished doing an interview with my group, he was a guest of the day in the course.

Thursday 28 May 2009

Visiting Christianian.


Here is a historical place in Denmark. Most of the people in Denmark they thought that the this place has the influence with some people.

Christianian is the society of collection of defrent nations but most of them are Denish citizens.

According to the some of people said that this place is the only place where ordinary peoples lives and it is the place where you can find the nature of the earth.

In here you can find the Mama Mhoja, whom her self called the Peace Maker, She maried Tanzanian man his name is Makungu and they live good life in this place. The compaund here is big and the sociaty is spreeding.

I agree if the Government of Denmark let these people live here .

see the picture of Mama Mhoja and I in Christianian Vilagge.

Climate Change.


Tis is also intrest subject as all of us know that this year Copenhagen will host the Climate chage Summit, so the subject on this issue is very important to all who are visiting Denmark if it will be for studing or other issues.

Here we had the opotunity to have philip Mellen who is specialized on Climate. But we shouldalso know that this year summit will focus on kyoto Goals, Machanisms and Status. Not only that but also will focus on Developments and Lessons learning, Cap and trade, priority areas, process and The roles of Development countries on Climate change.

Here is a photo of Philip Mellen, while he was in the class. 

Tuesday 26 May 2009

Visiting Metro Express




It was another day for making a visit to the Metro Express where they own the 24 Timer and other three News papers.




In there we met Editor in Chief, Claus Johansen but before this visiting early in the morning we had the class which talks about International Precedents {Media Law and Freedom of Expresion}. The host of this debate was Tyge Trier, who is an Advocate and Lecturer to the Univercity of Copenhagen.




All those man can be seen in this picture but the first one is an Aditor in Chief and the second one is Lawyer.

Monday 25 May 2009

denmark Redio and Meeting with Ban Ki Moon.







We had a great day today by visiting the Denish Broadcast Corporationwhere we met Leif Lonsmann, the Directer of Music and also we met Jorgen Laurvin, the foreign Correspondent.






All of them they had a talk with us and we manage to ask many quastions regarding with our profesion.






Here are some pictures in the room at there in DR.




In the afternoon we went to the Information Centre to meet The Secretary General, Ban Ki Moon. We were a lot of Journalists from defrent countries gether for quastioning him, almost we used one hour for this event.




Here are pictures in the meeting.












Sunday 24 May 2009

Sports in DFC.




Its helthy to have exacise every time when you get the chance, thats what DFC see in more then two eyes to put varity of sports in oder to make sure all students got the opotunity to participate.




After you return from either class or evining walking you shold at least be in one amoung those spotrs. In DFC we have Gimnastic, Pool, Dats and table tennis, but not only that they also have the big sreen Television for watching movies and news.




Here you can see my picture when I was playing pool in DFC.

Saturday 23 May 2009

Again in Parliament.


Here when I was in the Parliament constrating and asking quastions, around me are some koligen. The first one is Rose from Kenya and the socond is me.

Here are some other pictures.




I would also like to show you some other pictures from Sweeden but if you have any comments please! please you are free to ask through my Blog.

The Malmo in Sweeden.







Well it was a very nice day for the six student from Danicom to Malmo in Sweeden. It was Ajuza, Rose, Phyu Phyu, Mduma, Abdoulaye and I.






Malmo is a very nice city with a lot of tourists around. We took picture of the city, Train station and inside of the Train.






Here are some of them.

Friday 22 May 2009

How to Bypass in the Internate.




This is very tricky subject and you should be well now the Internate other wise you can't understand anything. In yesterday class we hade also a great time of learning to make our own newsletter, which is not so hard to learn.
Here below are pictures when students were bussy learning to bypass and creat thei own Newsletters.

Thursday 21 May 2009

These are Hillerod Councillors.


These two Councilers of Hillerod met us in the kulsvierskolen and had discussion with us and fortunetly we got the chance to ask them so many quastions.


They were pleased to see us and in this school we also got the opotunity to meet studets in their class and had a conversation with them.

How to Creat Blog.




This very Intrested class which took only two hours for lecture and all participate to creat their own blogs.




It was a very nice class like all the class we had before today. I don't think their any who didn't know how to make his\her blog.




I did it and every time I'm trying to make my blog much atractive more then others. Here are two men who make sure that we are making, one of them is Mr. Per.

The Denish Parliament


It is realy suprise to see the good relation between Member of parliament and Media here in Denmark, but it is. It take them years to trust each other and fianly they decide to agree working together.


Here in Denmark, all Media have their office in the Parliament and resposible paying of the office is parliament its self.


There cameras, redio waves and Internate so you can access whichever you want. Early afternoon on Wednesday we went to the parliament and we got the oppotunity to meet the Member of Parliament, who is also Spokes man of Forein Policy Jeppe Kofod.


He is 34 years old and he started to be the Member of Parliament seven years ago till now.

Ziarani nchini Denmark


A lot of things happens since I started my lessons here in Denmak. The first day we got the chance to know each other following by the introduction of what we are suporsed to do while we are here.


Its a group of seventeen people fro tanzania, Myanmar, Uganda, Zambia, Benin, Bukinafaso and Kenya.


This course not realy for only Journalists but also there are the head of Information, and sporkseman from diffrent Organisation from those countries.


Since we start the course we got the chance to visit the Municipality of Hilleroed including the the introduction to the legal frame work of local rule and democracy and also we hade an debate with two local politician.

The role of Media.

Kwa kawaida napenda sana kutumia lugha yakiswahili kwa hivyo nawakaribisha sasa kwenye web hii ambayo nimeitengeneza hivi karibuni. Nitajitahidi kuwapatia kile ambacho nnahisi kitakuwa kizuri kwetu sote ili tuweze kulipeleka taifa la Tanzania hususan Zanzibar.

You are all most well come to this blog