Friday 4 September 2009

New forodhani Garden View.




Kumbe watanzania tunapokusudia kufanya kitu huwa tunaweza lakini ni watu wachache mno ndio wanaotukwaza katika kuyimiza lile tunalolitaka.




Katika eneo la forodhani kulikuwa na eneo ambalo lilikuwa ni maarufa kwa wananchi kufika nyakati za usiku na kufurahika kwa kununua chakula na kupumzika.




Vyakula vya ainda nyingi sana vilikuwa vikipatikana lakini baada ya kuonekana umuhimu wa eneo hilo Serikali imeamua kuifanyia matengenezo eneo hilo na kujenga bustani ambayo kwa hivi sasa imekuwa ni kivutio kikubwa sana kwa wageni na wananchi wenyewe.




Hizi ni baadhi ya picha zinazoonyesha eneo labustani ya Forodhani.

No comments:

Post a Comment