Friday 4 September 2009

Ni picha za Forodhani.




Kwa kuwa ni muhimu kuziona hizi picha na ptazamo wake wa hivi sasa. Nimeona ni vyema nikaazituma na picha nyingine zaidi ambazo nilibahatika kuzichukua katika eneo hili la Forodhani.




Kwa kuwa nnamjali sana Hariet Jasson aliyetaka niziweke picha hizi nimeamua kufanya hii kazi kwa niaba yake na hivi sasa nnaziweka ili kila ambae anahitaji kuiona mandhari hii mpya aweze kufanya hivyo.




Na ikiwa mtu yoyote ana maoni juu ya mandhari hii anaweza akanitumia maoni hayo kupitia katika Blog yangu hii.


Kwa kuwa mazingira ni yetu sote naomba tulitunze eneo hili na ikiwa serikali ina uwezo mwengine basi hata Jamhuri Garden itengenezwe ifanane na hii ya Forodhani.

No comments:

Post a Comment