Saturday 28 August 2010

BALOZI WAMAREKANI NDANI YA ZENJI FM.

Huyu ndie balozi wa Marekani nchini Tanzania Alphonso E. Lenhardt wakati nikimpa maelezo ya jinsi Redio yetu inavyofanyakazi na Jinsi ya watendaji wake wanavyowajibika.

Humu ni ndani ya Studio ya kutangazia ya 96.80 Mhz.

No comments:

Post a Comment