Thursday 10 June 2010

Nusu Mwaka imekwisha.


Tumeingia kwenye mwezi wa sita ni nusu ya Mwaka hivyo naamini nusu ya matarajio na malengo yetu huenda yakawa yametimia. Sasa tunakwenda kwenye sehemu nyingine ya mwaka. Swali Jee! Tumejiandaaje? Unaponiona naelekea kwenye nusu mwaka iliyobakia tena nikiwa na haraka kubwa sana. Huko nnakokwenda kuna uchaguzi mkuu wa Tanzania, serikali ya pamoja ya SMZ na hivi karibuni naanza na kombe la dunia litakalofanyika kwa mara ya kwanza Barani Afrika.
Naamini tutafika pamoja, kwa hivyo tuwe sote.
Heri ya nusu mwaka.

No comments:

Post a Comment